Select Menu

News

News

Music

Theme images by konradlew. Powered by Blogger.

Movie

Gossip

Life Style

Sports

Health

Documentary

Video

» » Matokeo Azam FC vs Ruvu shooting leo April 10 2014


Mwananchi Kweli 11:34 AM 0




Zimebaki pointi tatu tu Azam FC kuwa mabingwa wa Ligi Kuu Bara kwa mara ya kwanza, hilo halina ubishi.
Azam FC wameshinda mabao 3-0 dhidi ya Ruvu Shooting katika mechi ya Ligi Kuu Bara iliyochezwa leo kwenye Uwanja wa Mabatini mjini Mlandizi.

 Iwapo Azam FC itaifunga Mbeya City katika mechi yake itakayofuata, Azam ambayo sasa ina pointi 56 itatawazwa rasmi kubwa mabingwa.

Katika mechi ya leo magoli ya Azam FC yalifungwa na mshambuliaji mkongwe, Gaudence Mwaikimba, Himid Mao na Kipre Tchetche







«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments

Leave a Reply